KIFARANSA
KIINGEREZA

TANGAZO

Tarehe 2, Julai 2010, tume fisha tena watu karibu 250 katika mgi wa Sange, jimbo la Kivu ya Kusini.

Wale wa ndugu wali lungula na moto ya lori (camion) ya ku beba petroli iliyo gongana na ku anguka katika njia ya Bukavu ku tokeya Uvira.

Watu walio sogelea iyo lori kabla yake ku waka moto wali lungula; ma nyumba mengi karibu ya njia piya na watu walikuwemo wali lungula.

Tuna mu omba Mungu atulize izo jamaa za Sange, jamaa yetu yote ya Kivu na taifa letu lote.

Wa Ongozi.